6. Amini ili Roho Mtakatifu akae ndani yako (Mathayo 25:1-12)

Episode 6 January 13, 2023 00:29:24
6. Amini ili Roho Mtakatifu akae ndani yako (Mathayo 25:1-12)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
6. Amini ili Roho Mtakatifu akae ndani yako (Mathayo 25:1-12)

Jan 13 2023 | 00:29:24

/

Show Notes

Katika kifungu kilichopita hapo juu tumeona wanawali watano wenye busara na wapumbavu, wanawali wapumbavu waliwaomba wale wenyebusara kuwagawia kiasi cha mafuta ya taa lakini wenye busara wakawajibu wale wapumbavu “hayatatutosha sisi na ninyi shikeni njia muende kwa wauzao mkajinunulie”. Hivyo wakati wale walio wapumbavu wakienda nje kununua mafuta hayo, wale wenye busara walikuwa nayo katika taa zao na kuingia katika sherehe za harusi. Sasa basi ni kwa namna gani tunaweza kuyatayarisha mafuta kwa ajili ya Bwana? Kitu pekee tunachoweza kufanya ni kuusubiri msamaha wake wa dhambi katika mioyo yetu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 16

January 13, 2023 00:19:19
Episode Cover

16. Mikakati ya wanao mpokea Roho Mtakatifu (Isaya 61:1-11)

Mtu aliye kwisha mpokea Roho Mtakatifu yampasa kufanya nini? Imempasa kuihubiri injili ya maji na Roho kwa watu wote. Mungu ameweka dhamana ya injili...

Listen

Episode 11

January 13, 2023 00:36:05
Episode Cover

11. Kutunza maisha yaliyo na ujazo wa Roho Mtakatifu ndani yako (Waefeso 5:6-18)

Ili “kuyatunza maisha yaliyo na ujazo wa Roho Mtakatifu” ni lazima tujitolee katika kuihubiri injili. Ili kuishi maisha yaliyo na ujazo wa Roho Mtakatifu...

Listen

Episode 14

January 13, 2023 00:14:49
Episode Cover

14. Ipi toba ya kweli katika kumpokea Roho Mtakatifu? (Matendo 2:38)

Biblia inasema katika (Matendo 2) kwamba mahubiri ya Petro yaliwagusa kwa undani watu na hata kuwasababisha watubu dhambi zao. Walichomwa mioyo yao na kumwambia...

Listen