Yohana sura 20 inahabari ya ufufuko wa Yesu. Bwana wetu alifufuka tena toka kifoni na kuwaeleza wafuasi wake “Pokeeni Roho Mtakatifu”. Wafuasi wa Yesu walipokea uwepo wa Roho Mtakatifu kama zawadi toka kwake. Yesu alitoa uwepo wa Roho Mtakatifu na uzima wa milele kwa wale wote wanaoamini ubatizo wake na damu yake iliyo safisha dhambi zao zote. Biblia inasema kwamba ubatizo wa Yesu ni mfano wa wokovu ambapo ubatizo huo uliokoa wanadamu wote kwa dhambi zao (1 Petro 3:21).
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Ili kuelewa ukweli wa injili hii njema, imempasa mtu kwanza kujua na kuelewa juu ya mpangilio wa utoaji dhabihu ulivyokuwa ukifanywa katika kusamehe watu...
Ikiwa unahitaji kuwa na usharika na Roho Mtakatifu kwanza kabisa lazima uelewe kwamba dhambi iliyo ndogo kabisa mbele ya Mungu inatosha kutokufanya usharika na...
Maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka toka mioyo ya wale wote wanao amini injili njema. Yohana 7:38 inasema “Aniaminiye mimi kama vile maandiko...