17. Yatupasa tuwe na imani na tumaini katika Roho Mtakatifu (Warumi 8:16-25)

Episode 17 January 13, 2023 00:17:13
17. Yatupasa tuwe na imani na tumaini katika Roho Mtakatifu (Warumi 8:16-25)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
17. Yatupasa tuwe na imani na tumaini katika Roho Mtakatifu (Warumi 8:16-25)

Jan 13 2023 | 00:17:13

/

Show Notes

Je, lipo tumaini la ulimwengu wa leo? Hapana Hakuna. Lipo kwa Yesu tu. Sasa ni wakati usio tabirika na kukosa matumaini. Kila kitu kinabadilika kila siku na kwa kasi watu wanajaribu kwa bidii kwenda sambamba na badiliko yaendayo kasi. Hawatafuti ukweli wa kiroho au hata kuhusika na faraja ya kiroho. Badala yake wanahangaikia kuzuia kushindwa na kuishia kuwa watumwa wa ulimwengu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 15

January 13, 2023 00:06:50
Episode Cover

15. Utaweza kupokea ujazo wa Roho Mtakatifu pale utakapo elewa kweli tu (Yohana 8:31-36)

Je unaelewa ukweli ulivyo? Yesu alisema “mimi ndimi njia” (Yohana 14:6), hivyo kumjua Yesu ndiko kuijua kweli. Je, Roho Mtakatifu huweka makazi ndani yako...

Listen

Episode 16

January 13, 2023 00:19:19
Episode Cover

16. Mikakati ya wanao mpokea Roho Mtakatifu (Isaya 61:1-11)

Mtu aliye kwisha mpokea Roho Mtakatifu yampasa kufanya nini? Imempasa kuihubiri injili ya maji na Roho kwa watu wote. Mungu ameweka dhamana ya injili...

Listen

Episode 18

January 13, 2023 00:23:43
Episode Cover

18. Ukweli uongozao wanao amini kujazwa Roho Mtakatifu (Yoshua 4:23)

Ningependa sasa nizungumzie injili njema ya kweli inayotuwezesha kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu. Baada ya kifo cha Musa, Mungu katuletea Yoshua kuiongoza Israeli. Musa...

Listen