18. Ukweli uongozao wanao amini kujazwa Roho Mtakatifu (Yoshua 4:23)

Episode 18 January 13, 2023 00:23:43
18. Ukweli uongozao wanao amini kujazwa Roho Mtakatifu (Yoshua 4:23)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
18. Ukweli uongozao wanao amini kujazwa Roho Mtakatifu (Yoshua 4:23)

Jan 13 2023 | 00:23:43

/

Show Notes

Ningependa sasa nizungumzie injili njema ya kweli inayotuwezesha kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu. Baada ya kifo cha Musa, Mungu katuletea Yoshua kuiongoza Israeli. Musa alikuwa ni mwakilishi wa sheria katika Agano la Kale. Ikiwa Musa angelivuka mto wa Yordani akiwa na wana wa Israel na kuingia Kanani pasingelikuwepo na umuhimu wa Yoshua kuwa kiongozi wa watu. Hata hivyo Mungu alimwezesha Musa kufika eneo lile karibu na ardhi ya Kanani na kumzuia asiingie.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 20

January 13, 2023 00:34:09
Episode Cover

20. Mtu aliye na uwepo wa Roho Mtakatifu ndani yake ndiye aongozaye wengine katika kumpokea Roho Mtakatifu (Yohana 20:21-23)

Yohana sura 20 inahabari ya ufufuko wa Yesu. Bwana wetu alifufuka tena toka kifoni na kuwaeleza wafuasi wake “Pokeeni Roho Mtakatifu”. Wafuasi wa Yesu...

Listen

Episode 2

January 13, 2023 00:57:06
Episode Cover

2. Je, inawezekana mtu kumnunua Roho Mtakatifu kwa uwezo wake? (Matendo 8:14-24)

Husika na somo kuu katika kifungu hiki, napenda kuleta ujumbe huu iwapo “mtu anaweza kumpokea Roho Mtakatifu ndani yake kwa kupitia juhudi binafsi”. Mitume...

Listen

Episode 4

January 13, 2023 00:25:37
Episode Cover

4. Wale walio na imani sawa na Mitume (Matendo 3:19)

Kwa kuangalia wafuasi wa Yesu Kristo kiwango cha imani zao walipokuwa na Roho Mtakatifu ndani yao ni tofauti kabisa na imani zao walipokuwa hawajawa...

Listen