18. Ukweli uongozao wanao amini kujazwa Roho Mtakatifu (Yoshua 4:23)

Episode 18 January 13, 2023 00:23:43
18. Ukweli uongozao wanao amini kujazwa Roho Mtakatifu (Yoshua 4:23)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
18. Ukweli uongozao wanao amini kujazwa Roho Mtakatifu (Yoshua 4:23)

Jan 13 2023 | 00:23:43

/

Show Notes

Ningependa sasa nizungumzie injili njema ya kweli inayotuwezesha kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu. Baada ya kifo cha Musa, Mungu katuletea Yoshua kuiongoza Israeli. Musa alikuwa ni mwakilishi wa sheria katika Agano la Kale. Ikiwa Musa angelivuka mto wa Yordani akiwa na wana wa Israel na kuingia Kanani pasingelikuwepo na umuhimu wa Yoshua kuwa kiongozi wa watu. Hata hivyo Mungu alimwezesha Musa kufika eneo lile karibu na ardhi ya Kanani na kumzuia asiingie.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 8

January 13, 2023 00:46:41
Episode Cover

8. Kupitia nani maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka? (Yohana 7:37-38)

Maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka toka mioyo ya wale wote wanao amini injili njema. Yohana 7:38 inasema “Aniaminiye mimi kama vile maandiko...

Listen

Episode 14

January 13, 2023 00:14:49
Episode Cover

14. Ipi toba ya kweli katika kumpokea Roho Mtakatifu? (Matendo 2:38)

Biblia inasema katika (Matendo 2) kwamba mahubiri ya Petro yaliwagusa kwa undani watu na hata kuwasababisha watubu dhambi zao. Walichomwa mioyo yao na kumwambia...

Listen

Episode 17

January 13, 2023 00:17:13
Episode Cover

17. Yatupasa tuwe na imani na tumaini katika Roho Mtakatifu (Warumi 8:16-25)

Je, lipo tumaini la ulimwengu wa leo? Hapana Hakuna. Lipo kwa Yesu tu. Sasa ni wakati usio tabirika na kukosa matumaini. Kila kitu kinabadilika...

Listen