19. Injili njema Iliyo pasua pazia la Hekalu (Mathayo 27:45-54)

Episode 19 January 13, 2023 00:23:31
19. Injili njema Iliyo pasua pazia la Hekalu (Mathayo 27:45-54)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
19. Injili njema Iliyo pasua pazia la Hekalu (Mathayo 27:45-54)

Jan 13 2023 | 00:23:31

/

Show Notes

Ili kuelewa ukweli wa injili hii njema, imempasa mtu kwanza kujua na kuelewa juu ya mpangilio wa utoaji dhabihu ulivyokuwa ukifanywa katika kusamehe watu dhambi zao mbele ya Mungu nyakati zile za Agano la Kale. Yatupasa kujua na kuamini ukweli ufuatao.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 10

January 13, 2023 00:40:30
Episode Cover

10. Tembea katika Roho! (Wagalatia 5:16-26, 6:6-18)

Mtume Paulo aliandika juu ya Roho Mtakatifu katika Waraka kwa Wagalatia. Katika Wagalatia 5:13-14 alisema “Maana ninyi, ndugu mliitwa mpate uhuru lakini uhuru wenu...

Listen

Episode 9

January 13, 2023 00:25:17
Episode Cover

9. Injili ya ubatizo wake iliyo tutakasa (Waefeso 2:14-22)

Kwanini tunatengwa na Mungu, na ni kwasababu gani hatuwezi kumjongelea kwa karibu? Yule mwanake aliye rithiwa alikuja kugundua yakwamba mama yake mzazi alimtelekeza hata...

Listen

Episode 16

January 13, 2023 00:19:19
Episode Cover

16. Mikakati ya wanao mpokea Roho Mtakatifu (Isaya 61:1-11)

Mtu aliye kwisha mpokea Roho Mtakatifu yampasa kufanya nini? Imempasa kuihubiri injili ya maji na Roho kwa watu wote. Mungu ameweka dhamana ya injili...

Listen