15. Utaweza kupokea ujazo wa Roho Mtakatifu pale utakapo elewa kweli tu (Yohana 8:31-36)

Episode 15 January 13, 2023 00:06:50
15. Utaweza kupokea ujazo wa Roho Mtakatifu pale utakapo elewa kweli tu (Yohana 8:31-36)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
15. Utaweza kupokea ujazo wa Roho Mtakatifu pale utakapo elewa kweli tu (Yohana 8:31-36)

Jan 13 2023 | 00:06:50

/

Show Notes

Je unaelewa ukweli ulivyo? Yesu alisema “mimi ndimi njia” (Yohana 14:6), hivyo kumjua Yesu ndiko kuijua kweli. Je, Roho Mtakatifu huweka makazi ndani yako kwa kuishukuru imani ya injili njema? Imekupasa ugundue kwamba ubatizo wa Yesu na damu yake msalabani ni taswira ya injili njema. Hivyo imekupasa kuiamini hivyo.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 6

January 13, 2023 00:29:24
Episode Cover

6. Amini ili Roho Mtakatifu akae ndani yako (Mathayo 25:1-12)

Katika kifungu kilichopita hapo juu tumeona wanawali watano wenye busara na wapumbavu, wanawali wapumbavu waliwaomba wale wenyebusara kuwagawia kiasi cha mafuta ya taa lakini...

Listen

Episode 4

January 13, 2023 00:25:37
Episode Cover

4. Wale walio na imani sawa na Mitume (Matendo 3:19)

Kwa kuangalia wafuasi wa Yesu Kristo kiwango cha imani zao walipokuwa na Roho Mtakatifu ndani yao ni tofauti kabisa na imani zao walipokuwa hawajawa...

Listen

Episode 9

January 13, 2023 00:25:17
Episode Cover

9. Injili ya ubatizo wake iliyo tutakasa (Waefeso 2:14-22)

Kwanini tunatengwa na Mungu, na ni kwasababu gani hatuwezi kumjongelea kwa karibu? Yule mwanake aliye rithiwa alikuja kugundua yakwamba mama yake mzazi alimtelekeza hata...

Listen