14. Ipi toba ya kweli katika kumpokea Roho Mtakatifu? (Matendo 2:38)

Episode 14 January 13, 2023 00:14:49
14. Ipi toba ya kweli katika kumpokea Roho Mtakatifu? (Matendo 2:38)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
14. Ipi toba ya kweli katika kumpokea Roho Mtakatifu? (Matendo 2:38)

Jan 13 2023 | 00:14:49

/

Show Notes

Biblia inasema katika (Matendo 2) kwamba mahubiri ya Petro yaliwagusa kwa undani watu na hata kuwasababisha watubu dhambi zao. Walichomwa mioyo yao na kumwambia Petro na mitume wengine, “Tutendeje ndugu zetu? Petro akawaambia tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kisto mpate ondoleo la dhambi zenu nayinyi mtapokea kipawa cha Roho Mtaakatifu” (Matendo 2:38).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 7

January 13, 2023 00:56:58
Episode Cover

7. Injili iliyo njema inayowezesha Roho Mtakatifu kukaa ndani ya wanao amini (Isaya 9:6-7)

Ili kumpokea Roho Mtakatifu tunahitajika kuwa na imani katika injili ya maji na Roho. Bwana wetu ameitwa wa Ajabu, Mshauri na Mungu mwenye Enzi....

Listen

Episode 2

January 13, 2023 00:57:06
Episode Cover

2. Je, inawezekana mtu kumnunua Roho Mtakatifu kwa uwezo wake? (Matendo 8:14-24)

Husika na somo kuu katika kifungu hiki, napenda kuleta ujumbe huu iwapo “mtu anaweza kumpokea Roho Mtakatifu ndani yake kwa kupitia juhudi binafsi”. Mitume...

Listen

Episode 6

January 13, 2023 00:29:24
Episode Cover

6. Amini ili Roho Mtakatifu akae ndani yako (Mathayo 25:1-12)

Katika kifungu kilichopita hapo juu tumeona wanawali watano wenye busara na wapumbavu, wanawali wapumbavu waliwaomba wale wenyebusara kuwagawia kiasi cha mafuta ya taa lakini...

Listen