14. Ipi toba ya kweli katika kumpokea Roho Mtakatifu? (Matendo 2:38)

Episode 14 January 13, 2023 00:14:49
14. Ipi toba ya kweli katika kumpokea Roho Mtakatifu? (Matendo 2:38)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
14. Ipi toba ya kweli katika kumpokea Roho Mtakatifu? (Matendo 2:38)

Jan 13 2023 | 00:14:49

/

Show Notes

Biblia inasema katika (Matendo 2) kwamba mahubiri ya Petro yaliwagusa kwa undani watu na hata kuwasababisha watubu dhambi zao. Walichomwa mioyo yao na kumwambia Petro na mitume wengine, “Tutendeje ndugu zetu? Petro akawaambia tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kisto mpate ondoleo la dhambi zenu nayinyi mtapokea kipawa cha Roho Mtaakatifu” (Matendo 2:38).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 15

January 13, 2023 00:06:50
Episode Cover

15. Utaweza kupokea ujazo wa Roho Mtakatifu pale utakapo elewa kweli tu (Yohana 8:31-36)

Je unaelewa ukweli ulivyo? Yesu alisema “mimi ndimi njia” (Yohana 14:6), hivyo kumjua Yesu ndiko kuijua kweli. Je, Roho Mtakatifu huweka makazi ndani yako...

Listen

Episode 10

January 13, 2023 00:40:30
Episode Cover

10. Tembea katika Roho! (Wagalatia 5:16-26, 6:6-18)

Mtume Paulo aliandika juu ya Roho Mtakatifu katika Waraka kwa Wagalatia. Katika Wagalatia 5:13-14 alisema “Maana ninyi, ndugu mliitwa mpate uhuru lakini uhuru wenu...

Listen

Episode 6

January 13, 2023 00:29:24
Episode Cover

6. Amini ili Roho Mtakatifu akae ndani yako (Mathayo 25:1-12)

Katika kifungu kilichopita hapo juu tumeona wanawali watano wenye busara na wapumbavu, wanawali wapumbavu waliwaomba wale wenyebusara kuwagawia kiasi cha mafuta ya taa lakini...

Listen