10. Tembea katika Roho! (Wagalatia 5:16-26, 6:6-18)

Episode 10 January 13, 2023 00:40:30
10. Tembea katika Roho! (Wagalatia 5:16-26, 6:6-18)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
10. Tembea katika Roho! (Wagalatia 5:16-26, 6:6-18)

Jan 13 2023 | 00:40:30

/

Show Notes

Mtume Paulo aliandika juu ya Roho Mtakatifu katika Waraka kwa Wagalatia. Katika Wagalatia 5:13-14 alisema “Maana ninyi, ndugu mliitwa mpate uhuru lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili bali tumikianeni kwa upendo. Maana torati yote imetimilika katika neno moja nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako”.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 15

January 13, 2023 00:06:50
Episode Cover

15. Utaweza kupokea ujazo wa Roho Mtakatifu pale utakapo elewa kweli tu (Yohana 8:31-36)

Je unaelewa ukweli ulivyo? Yesu alisema “mimi ndimi njia” (Yohana 14:6), hivyo kumjua Yesu ndiko kuijua kweli. Je, Roho Mtakatifu huweka makazi ndani yako...

Listen

Episode 18

January 13, 2023 00:23:43
Episode Cover

18. Ukweli uongozao wanao amini kujazwa Roho Mtakatifu (Yoshua 4:23)

Ningependa sasa nizungumzie injili njema ya kweli inayotuwezesha kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu. Baada ya kifo cha Musa, Mungu katuletea Yoshua kuiongoza Israeli. Musa...

Listen

Episode 8

January 13, 2023 00:46:41
Episode Cover

8. Kupitia nani maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka? (Yohana 7:37-38)

Maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka toka mioyo ya wale wote wanao amini injili njema. Yohana 7:38 inasema “Aniaminiye mimi kama vile maandiko...

Listen