10. Tembea katika Roho! (Wagalatia 5:16-26, 6:6-18)

Episode 10 January 13, 2023 00:40:30
10. Tembea katika Roho! (Wagalatia 5:16-26, 6:6-18)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
10. Tembea katika Roho! (Wagalatia 5:16-26, 6:6-18)

Jan 13 2023 | 00:40:30

/

Show Notes

Mtume Paulo aliandika juu ya Roho Mtakatifu katika Waraka kwa Wagalatia. Katika Wagalatia 5:13-14 alisema “Maana ninyi, ndugu mliitwa mpate uhuru lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili bali tumikianeni kwa upendo. Maana torati yote imetimilika katika neno moja nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako”.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 1

January 13, 2023 00:16:22
Episode Cover

1. Roho Mtakatifu Hufanya kazi kupitia ahadi ya Neno la Mungu (Matendo 1:4-8)

Hapo mwanzo nilipatwa na tukio la kujiwa na miale ifananayo kama Roho Mtakatifu wakati wa maombi. Lakini miale hii haikudumu kwa muda, hivyo punde...

Listen

Episode 9

January 13, 2023 00:25:17
Episode Cover

9. Injili ya ubatizo wake iliyo tutakasa (Waefeso 2:14-22)

Kwanini tunatengwa na Mungu, na ni kwasababu gani hatuwezi kumjongelea kwa karibu? Yule mwanake aliye rithiwa alikuja kugundua yakwamba mama yake mzazi alimtelekeza hata...

Listen

Episode 4

January 13, 2023 00:25:37
Episode Cover

4. Wale walio na imani sawa na Mitume (Matendo 3:19)

Kwa kuangalia wafuasi wa Yesu Kristo kiwango cha imani zao walipokuwa na Roho Mtakatifu ndani yao ni tofauti kabisa na imani zao walipokuwa hawajawa...

Listen