11. Kutunza maisha yaliyo na ujazo wa Roho Mtakatifu ndani yako (Waefeso 5:6-18)

Episode 11 January 13, 2023 00:36:05
11. Kutunza maisha yaliyo na ujazo wa Roho Mtakatifu ndani yako (Waefeso 5:6-18)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
11. Kutunza maisha yaliyo na ujazo wa Roho Mtakatifu ndani yako (Waefeso 5:6-18)

Jan 13 2023 | 00:36:05

/

Show Notes

Ili “kuyatunza maisha yaliyo na ujazo wa Roho Mtakatifu” ni lazima tujitolee katika kuihubiri injili. Ili kuishi maisha yaliyo na ujazo wa Roho Mtakatifu yatupasa kwanza kupokea baraka ambayo ndiyo huleta uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya mioyo yetu. Ili kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu ni lazima tuwe na imani ambapo ni kuamini injili ya maji na Roho Mungu aliyotupatia na kwa kuwa na imani hii tutapokea baraka ambayo humfanya Roho Mtakatifu kuweka makazi ndani yetu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 21

January 13, 2023 00:44:50
Episode Cover

21. Maswali na Majibu

Maswali na Majibu

Listen

Episode 5

January 13, 2023 00:40:50
Episode Cover

5. Je, unataka kuwa na Ushirika na Roho Mtakatifu? (1 Yohana 1:1-10)

Ikiwa unahitaji kuwa na usharika na Roho Mtakatifu kwanza kabisa lazima uelewe kwamba dhambi iliyo ndogo kabisa mbele ya Mungu inatosha kutokufanya usharika na...

Listen

Episode 15

January 13, 2023 00:06:50
Episode Cover

15. Utaweza kupokea ujazo wa Roho Mtakatifu pale utakapo elewa kweli tu (Yohana 8:31-36)

Je unaelewa ukweli ulivyo? Yesu alisema “mimi ndimi njia” (Yohana 14:6), hivyo kumjua Yesu ndiko kuijua kweli. Je, Roho Mtakatifu huweka makazi ndani yako...

Listen