13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)

Episode 13 January 13, 2023 00:27:06
13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)

Jan 13 2023 | 00:27:06

/

Show Notes

Katika Mwanzo 1:2 imeandikwa, “Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu na giza lilikuwa juu ya uso wa maji”. Tunaweza kuona toka katika kifungu hiki kwamba Roho Mtakatifu hakai ndani ya mioyo iliyo jawa na vurugu na dhambi bali hukaa katika mioyo ya wale wenye kuiamini injili njema tu. Hata hivyo watu wengi kwa vurugu zao na utupu wa mioyo chini ya imani za matendo ya kimashamshamu, husema kwamba wanataka kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu huku wakiwa na dhambi mioyoni mwao.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 8

January 13, 2023 00:46:41
Episode Cover

8. Kupitia nani maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka? (Yohana 7:37-38)

Maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka toka mioyo ya wale wote wanao amini injili njema. Yohana 7:38 inasema “Aniaminiye mimi kama vile maandiko...

Listen

Episode 17

January 13, 2023 00:17:13
Episode Cover

17. Yatupasa tuwe na imani na tumaini katika Roho Mtakatifu (Warumi 8:16-25)

Je, lipo tumaini la ulimwengu wa leo? Hapana Hakuna. Lipo kwa Yesu tu. Sasa ni wakati usio tabirika na kukosa matumaini. Kila kitu kinabadilika...

Listen

Episode 9

January 13, 2023 00:25:17
Episode Cover

9. Injili ya ubatizo wake iliyo tutakasa (Waefeso 2:14-22)

Kwanini tunatengwa na Mungu, na ni kwasababu gani hatuwezi kumjongelea kwa karibu? Yule mwanake aliye rithiwa alikuja kugundua yakwamba mama yake mzazi alimtelekeza hata...

Listen