13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)

Episode 13 January 13, 2023 00:27:06
13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)

Jan 13 2023 | 00:27:06

/

Show Notes

Katika Mwanzo 1:2 imeandikwa, “Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu na giza lilikuwa juu ya uso wa maji”. Tunaweza kuona toka katika kifungu hiki kwamba Roho Mtakatifu hakai ndani ya mioyo iliyo jawa na vurugu na dhambi bali hukaa katika mioyo ya wale wenye kuiamini injili njema tu. Hata hivyo watu wengi kwa vurugu zao na utupu wa mioyo chini ya imani za matendo ya kimashamshamu, husema kwamba wanataka kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu huku wakiwa na dhambi mioyoni mwao.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 5

January 13, 2023 00:40:50
Episode Cover

5. Je, unataka kuwa na Ushirika na Roho Mtakatifu? (1 Yohana 1:1-10)

Ikiwa unahitaji kuwa na usharika na Roho Mtakatifu kwanza kabisa lazima uelewe kwamba dhambi iliyo ndogo kabisa mbele ya Mungu inatosha kutokufanya usharika na...

Listen

Episode 4

January 13, 2023 00:25:37
Episode Cover

4. Wale walio na imani sawa na Mitume (Matendo 3:19)

Kwa kuangalia wafuasi wa Yesu Kristo kiwango cha imani zao walipokuwa na Roho Mtakatifu ndani yao ni tofauti kabisa na imani zao walipokuwa hawajawa...

Listen

Episode 8

January 13, 2023 00:46:41
Episode Cover

8. Kupitia nani maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka? (Yohana 7:37-38)

Maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka toka mioyo ya wale wote wanao amini injili njema. Yohana 7:38 inasema “Aniaminiye mimi kama vile maandiko...

Listen