Katika Mwanzo 1:2 imeandikwa, “Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu na giza lilikuwa juu ya uso wa maji”. Tunaweza kuona toka katika kifungu hiki kwamba Roho Mtakatifu hakai ndani ya mioyo iliyo jawa na vurugu na dhambi bali hukaa katika mioyo ya wale wenye kuiamini injili njema tu. Hata hivyo watu wengi kwa vurugu zao na utupu wa mioyo chini ya imani za matendo ya kimashamshamu, husema kwamba wanataka kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu huku wakiwa na dhambi mioyoni mwao.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Ningependa sasa nizungumzie injili njema ya kweli inayotuwezesha kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu. Baada ya kifo cha Musa, Mungu katuletea Yoshua kuiongoza Israeli. Musa...
Maji ya uzima ya Roho Mtakatifu hutiririka toka mioyo ya wale wote wanao amini injili njema. Yohana 7:38 inasema “Aniaminiye mimi kama vile maandiko...
Mtu aliye kwisha mpokea Roho Mtakatifu yampasa kufanya nini? Imempasa kuihubiri injili ya maji na Roho kwa watu wote. Mungu ameweka dhamana ya injili...