13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)

Episode 13 January 13, 2023 00:27:06
13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)

Jan 13 2023 | 00:27:06

/

Show Notes

Katika Mwanzo 1:2 imeandikwa, “Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu na giza lilikuwa juu ya uso wa maji”. Tunaweza kuona toka katika kifungu hiki kwamba Roho Mtakatifu hakai ndani ya mioyo iliyo jawa na vurugu na dhambi bali hukaa katika mioyo ya wale wenye kuiamini injili njema tu. Hata hivyo watu wengi kwa vurugu zao na utupu wa mioyo chini ya imani za matendo ya kimashamshamu, husema kwamba wanataka kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu huku wakiwa na dhambi mioyoni mwao.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 3

January 13, 2023 00:19:03
Episode Cover

3. Mlimpokea Roho Mtakatifu mlipoamini? (Matendo 19:1-3)

Aina gani ya Injili Paulo alihubiri? Alihubiri Injili ya ubatizo wa Yesu na damu yake. Matendo 19:1-2 inasema “Ikiwa, Apolo alipokuwa Korintho, Paulo akiisha...

Listen

Episode 9

January 13, 2023 00:25:17
Episode Cover

9. Injili ya ubatizo wake iliyo tutakasa (Waefeso 2:14-22)

Kwanini tunatengwa na Mungu, na ni kwasababu gani hatuwezi kumjongelea kwa karibu? Yule mwanake aliye rithiwa alikuja kugundua yakwamba mama yake mzazi alimtelekeza hata...

Listen

Episode 5

January 13, 2023 00:40:50
Episode Cover

5. Je, unataka kuwa na Ushirika na Roho Mtakatifu? (1 Yohana 1:1-10)

Ikiwa unahitaji kuwa na usharika na Roho Mtakatifu kwanza kabisa lazima uelewe kwamba dhambi iliyo ndogo kabisa mbele ya Mungu inatosha kutokufanya usharika na...

Listen