16. Mikakati ya wanao mpokea Roho Mtakatifu (Isaya 61:1-11)

Episode 16 January 13, 2023 00:19:19
16. Mikakati ya wanao mpokea Roho Mtakatifu (Isaya 61:1-11)
Roho Mtakatifu akaaye ndani yangu - Njia ya tahadhari kwako katika kumpokea Roho Mtakatifu
16. Mikakati ya wanao mpokea Roho Mtakatifu (Isaya 61:1-11)

Jan 13 2023 | 00:19:19

/

Show Notes

Mtu aliye kwisha mpokea Roho Mtakatifu yampasa kufanya nini? Imempasa kuihubiri injili ya maji na Roho kwa watu wote. Mungu ameweka dhamana ya injili njema yakuzaliwa upya mara ya pili kwa maji na kwa Roho mikononi mwa wale wote walio kwisha kupokea uwepo wa Roho Mtakatifu.Wale wote walio kwisha pokea msamaha wa dhambi zao mbele ya Mungu hupokea Roho Mtakatifu. Sasa basi kwanini unadhani Mungu ametunuku karama ya Roho Mtakatifu kwao?

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 13

January 13, 2023 00:27:06
Episode Cover

13. Kazi na vipawa vya Roho Mtakatifu (Yohana 16:5-11)

Katika Mwanzo 1:2 imeandikwa, “Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu na giza lilikuwa juu ya uso wa maji”. Tunaweza kuona toka katika kifungu hiki...

Listen

Episode 5

January 13, 2023 00:40:50
Episode Cover

5. Je, unataka kuwa na Ushirika na Roho Mtakatifu? (1 Yohana 1:1-10)

Ikiwa unahitaji kuwa na usharika na Roho Mtakatifu kwanza kabisa lazima uelewe kwamba dhambi iliyo ndogo kabisa mbele ya Mungu inatosha kutokufanya usharika na...

Listen

Episode 19

January 13, 2023 00:23:31
Episode Cover

19. Injili njema Iliyo pasua pazia la Hekalu (Mathayo 27:45-54)

Ili kuelewa ukweli wa injili hii njema, imempasa mtu kwanza kujua na kuelewa juu ya mpangilio wa utoaji dhabihu ulivyokuwa ukifanywa katika kusamehe watu...

Listen